Header Ads

FILAMU YA CHUMO YAZINDULIWA RASMI MOVENPICK

Filamu ya CHUMO iliyoongozwa na Jordan Riber imezinduliwa rasmi leo jijini Dar es salaam katika Hotel ya Movenpick usiku huu.Mgeni rasmi katika uzinduzi huo alikuwa Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dr Haji Mponda.Wadau mbalimbali wa Tasnia ya Filamu nchini na Raia mbalimbali kutoka nchi za nje walihudhuria uzinduzi huo.Filamu ya CHUMO imechezwa na wasanii Jokate Mwegello,Yusuph Mlela na msanii anayefahamika kwa jina la sharobaro.

Muongozaji wa filamu ya CHUMO Jordan Riber akiongea na vyombo vya habari

Steven Kanumba akifuatilia kwa makini Filamu ya Chumo
                                  Pata habari zaidi<<<< hapa >>>>

No comments:

Powered by Blogger.