Header Ads

Wale wadau wa bongo flava.....Hii hapa sasa-(
Msanii kali wa Bongo Flava kutokea Tanga, Tanzania Bwana Misosi ameachia ngoma yake nyengine inayokwenda kwa jina la 'Pilato na game'....Misosi mwenyewe anasema!!

"Nyimbo yangu mpya inaitwa"pilato na game" nimefanyika pale Mj records chini ya producer Makochali na nimewashirikisha Nature na Fid Q na video imefanyika na Kalages picture na zote audio na video nimeziachia kwa pamoja."

No comments:

Powered by Blogger.