Header Ads




Rais  Dkt.Jakaya Kikwete akiingia katika uwanja wa michezo wa Amaan mjini Unguja kuognoza sherehe za miaka 47 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipokea heshima na kupigiwa mizinda 21 mara tu alipowasili katika uwanja wa michezo wa Amaan mjini unguja kuongoza Sherehe za miaka 47 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar leo asubuhi

No comments:

Powered by Blogger.