Header Ads

ALICIA KEYS AMTIMUA MENEJA WAKE.........
.Mama watoto wake swiz beats.alicia keys ameamua kumtimua kazi aliekuwa meneja wake JEFF ROBBNISON.kwa madai ya kushuka kiwango toka album yake ya mwisho iliyoingia sokoni mwaka jana mwanzoni na kupata mafanikio na kushika nafasi ya tisa kwenye billboad .tofauti na hii iliyoingia sokoni mwaka huu na kufanya vibaya.anadai ilipoingia sokoni imeuza nakala laki moja tu kwa wiki nne.tofauti na ya mwaka jana iliuza laki tano kwa wiki nne.ivyo haoni umuhimu wa jeff kuendelea kuwa meneja wake.sasa ndo hatujui ataamua kumweka m2 mzimaaa auuuuuuuu.for more information visit kwenye blogs yake.aliciaaugellocook.blogspot.com

No comments:

Powered by Blogger.