WAZIRI MWAKYEMBE AKUTANA NA BALOZI WA KOREA NCHINI TANZANIA
 Balozi wa Korea nchini Tanzania Bw. Chung IL akibadilishana mawazo na 
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe kuhusu masuala 
mbalimbali ya kisheria alipomtembelea leo (10/3/2016) ofisini kwake 
jijini Dar Es Salaam.
 Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Harrison 
Mwakyembe akiongea na Balozi wa Korea nchini Tanzania Bw. Chung IL 
alipomtembelea leo (10/3/2016) ofisini kwake jijini Dar Es Salaam.
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment