Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa akizungumza na
wafanyakazi wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano kuhusu mikakati
ya uendeshaji wa Wizara hiyo inayojenga Miundombinu ya kisasa ili
kuiwezesha Tanzania kufikia uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025.
Katibu
Mkuu (Sekta ya Ujenzi), Eng. Joseph Nyamhanga akifafanua jambo kuhusu
mikakati ya Ujenzi wa Barabara, Nyumba za Serikali na Huduma za Ufundi
na Umeme katika kikao kazi cha Watumishi wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi
na Mawasiliano.
Naibu
Katibu Mkuu (Sekta ya Mawasiliano), Dkt. Maria Sasabo akifafanua jambo
katika kikao kazi cha Watumishi wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano.
Watumishi
wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano wakifuatilia kwa makini
hotuba ya Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa
wakati wa Kikao kazi kilichofanyika jijini Dar es Salaam.
Waziri
wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame akiwa na baadhi ya
Mbarawa na wafanyakazi wa Wizara hiyo mara baada ya kikao kazi jijini
Dar es Salaam.
PROF. MBARAWA: ACHENI KUFANYA KAZI KWA MAZOEA
Reviewed by
crispaseve
on
4:51 AM
Rating:
5
No comments:
Post a Comment