Header Ads

WAKUFUNZI WATATU WA ELIMU YA WATU WAZIMA WA MIKOA KUVULIWA MADARAKA.

Kamishina wa Elimu,Teknolojia, Sayansi na Ufundi, Profesa Eustella Balamsesa akizungumza na waandishi habari (Hawapo pichani) leo jijini Dar es Salaam. 
Mkurugenzi wa Elimu ya Watu Wazima, Fedelis Mafumiko akizungumza na waandishi habari (Hawapo pichani) leo jijini Dar es Salaam, kulia ni Kamishina wa Elimu,Teknolojia, Sayansi na Ufundi, Profesa Eustella Balamsesa.

Baadhi ya Waandishi habari wakimsikiliza Kamishina wa Elimu,Teknolojia, Sayansi na Ufundi, Profesa Eustella Balamsesa (hayupo pichani) leo jijini Dar es Salaam 

(Picha na Emmanuel Massaka wa Globul ya Jamii).


Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii. 
KAMISHINA wa Elimu, Teknolojia, Sayansi na Ufundi, Profesa Eustella Balamsesa amemuagiza Mkurugenzi wa Elimu ya Watu Wazima, Fedelis Mafumiko kuwavua madaraka Wakufunzi Wakazi Watatu (3), wa Elimu ya Watu Wazima kutokana na kukiuka utaratibu wa kuchagua wanafunzi wanaojiunga kidato cha kwanza kuwaingiza katika Mfumo wa Elimu ya Watu Wazima.

No comments:

Powered by Blogger.