WAKUFUNZI WATATU WA ELIMU YA WATU WAZIMA WA MIKOA KUVULIWA MADARAKA.
Kamishina
wa Elimu,Teknolojia, Sayansi na Ufundi, Profesa Eustella Balamsesa
akizungumza na waandishi habari (Hawapo pichani) leo jijini Dar es
Salaam.
Mkurugenzi
wa Elimu ya Watu Wazima, Fedelis Mafumiko akizungumza na waandishi
habari (Hawapo pichani) leo jijini Dar es Salaam, kulia ni Kamishina wa
Elimu,Teknolojia, Sayansi na Ufundi, Profesa Eustella Balamsesa.
Baadhi ya
Waandishi habari wakimsikiliza Kamishina wa Elimu,Teknolojia, Sayansi na
Ufundi, Profesa Eustella Balamsesa (hayupo pichani) leo jijini Dar es
Salaam
(Picha na Emmanuel Massaka wa Globul ya Jamii).
Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii.
KAMISHINA
wa Elimu, Teknolojia, Sayansi na Ufundi, Profesa Eustella Balamsesa
amemuagiza Mkurugenzi wa Elimu ya Watu Wazima, Fedelis Mafumiko kuwavua
madaraka Wakufunzi Wakazi Watatu (3), wa Elimu ya Watu Wazima kutokana
na kukiuka utaratibu wa kuchagua wanafunzi wanaojiunga kidato cha kwanza
kuwaingiza katika Mfumo wa Elimu ya Watu Wazima.
No comments:
Post a Comment