SHEREHE YA WAFANYAKAZI WA GAZETI LA JAMBO LEO YA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA 2016
Mkurugenzi
Mtendaji wa Kampuni ya Jambo Concepts, Juma Pinto (kushoto),
akimuelezea Mpiga Picha Mkuu wa Gazeti la Jambo Leo, Richard Mwaikenda
kuwa wakati gazeti la Jambo Leo lilipoanzishwa 2009, alikuwa mfanyakazi
wa kwanza kujiunga na gazeti hilo akitokea Kampuni ya Business Times.
Baadhi
ya wafanyakazi wa Gazeti la Jambo Leo na familia zao, wakigongeana
glasi zenye vinywaji ikiwa ni ishara ya kutakiana heri wakati wa hafla
ya kuuaga mwaka 2015 na kuukaribisha ya Mwaka Mpya 2016, katika Mgahawa
wa City Sports Lounge, Dar es Salaam
Wafanyakazi
wa Jambo Leo na familia zao pamoja na wageni waalikwa wakiburudika kwa
muziki uliokuwa ukiporomoshwa wakati wa hafla hiyo iliyofanyika kwenye
Mgahawa wa kisasa wa City Sports Lounge, katikati ya Jiji la Dar es
Salaam.

No comments:
Post a Comment