ASKOFU PENGO APONGEZA HUDUMA ZA TAASISI YA MOYO.
Askofu
Mkuu wa Jimbo kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo
akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, watoto na Wazee, Ummy
Mwalimu na Kushoto ni Askofu Mkuu wa Jimbo la Songea, Damian Dallu.
Askofu Mkuu wa Jimbo kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo akizungumza
na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo na kupongeza jopo la
Madaktari waliomhudumia katika Hospitali ya Mhimbili.
Katika
mkutano huo Askofu Mkuu wa Jimbo kuu la Dar es Salaam, Mwadhama
Polycarp Kardinali Pengo alitoa zawadi za kadi za pongezi kwa baadhi ya
madaktari mara baada ya kuzungumza na waandishi wa habari jijini Dar es
Salaam leo.
No comments:
Post a Comment