MBUNGE WA JIMBO LA ISMANI WILIAMU LUKUVI APATA WAPINZANI JIMBONI KWAKE
Mtia nia wa ccm jimbo la ismani festo kiswaga akiwa katika ofisi za ccm jimbo la iringa vijiji
akiwa na katibu wa ccm iringa vijijini
NA MWANDISHI WETU,IRINGA.
Baada ya zoezi la
uchaguzi wa wagombea urais kukamilika katika vyama sasa zoezi limeanza kwa
wabunge na madiwani ambapo hii leo Festo Kiswaga ambaye ameweka nia ya kugombea
katika jimbo la isiman.
Katika mkutano huo na
waandishi wa habari KIswaga amekanusha uvumi uliokuwa umezagaa juu ya kuhongwa
pesa mwaka 2010 ili kutogombea huku akidai kuwa alishindwa kwa haiki na si
hongo ya mbunge aliyepo madalakani kwasasa huku akimzawadia ukuu wa wilaya.
No comments:
Post a Comment