Header Ads

NSSF CUP Jambo Leo wakimbia uwanja, Baada ya kuchapwa 3-0 na NSSF

Wachezaji wa Jambo Leo mpira wa miguu (wenye jezi rangi nyekundu) wakitoka uwanjani mara baada ya kufungwa goli la 3 na kususia mchezo huo kwa madai uwanja umeharibika kwa kujaa maji. Mchezo huo ulivunjika katika dakika 69. Wachezaji wa Jambo Leo mpira wa miguu (wenye jezi rangi nyekundu) wakitoka uwanjani mara baada ya kufungwa goli la 3 na kususia mchezo huo kwa madai uwanja umeharibika kwa kujaa maji. Mchezo huo ulivunjika katika dakika 69Wachezaji wa timu ya NSSF mpira wa miguu wakitoka uwanjani huku wakipongezana  mara baada ya mwamuzi kumaliza pambano lao na timu ya Jambo Leo. NSSF walipewa ushindi wa magoli 3-0. Baada ya Timu ya Jambo Leo kukimbia uwanjani baada ya kufungwa goli la 3 katika dakika 69 ikisingizia uwanja mbaya. Wachezaji wa timu ya NSSF mpira wa miguu wakitoka uwanjani huku wakipongezana 
mara baada ya mwamuzi kumaliza pambano lao na timu ya Jambo Leo. NSSF walipewa ushindi wa magoli 3-0. Baada ya Timu ya Jambo Leo kukimbia uwanjani baada ya kufungwa goli la 3 katika dakika 69 ikisingizia uwanja mbayaWachezaji wa timu ya NSSF mpira wa miguu wakitoka uwanjani mara baada ya mwamuzi kumaliza pambano lao na Jambo Leo na kupewa ushindi wa magoli 3-0. Timu ya Jambo Leo ilikimbia uwanjani baada ya kufungwa goli la 3 katika dakika 69 ikisingigia uwanja mbaya. Wachezaji wa timu ya NSSF mpira wa miguu wakitoka uwanjani mara baada ya mwamuzi kumaliza pambano lao na Jambo Leo na kupewa ushindi wa magoli 3-0. Timu ya Jambo Leo ilikimbia uwanjani baada ya kufungwa goli la 3 katika dakika 69 ikisingigia uwanja mbayaBaadhi ya viongozi na wachezaji wa akiba wa Timu ya Uhuru Media wakifuatilia pambano lao na Sahara Media. Baadhi ya viongozi na wachezaji wa akiba wa Timu ya Uhuru Media wakifuatilia pambano lao na Sahara Media.

No comments:

Powered by Blogger.