Header Ads

MAMA SALMA KIKWETE MGENI RASMI KILELE CHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI MKOANI DAR


RAY1 
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipokewa na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Raymond Mushi wakati akiwasili kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja katika kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake duniani mkoani Dar esb Salaam terehe 8.3.2015. RAY3 
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipunga mkono ikiwa ni ishara ya kuyapokea   maandamano ya akina mama wa Mkoa wa Dar es Salaam kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja wakati wa kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake duniani tarehe 8.3.2015. RAY4 Wafanyakazi akina mama kutoka Jeshi la Polisi wakipita mbele ya Mgeni Rasmi Mama Salma Kikwete wakifuatiwa na Jeshi la zimamoto. RAY5Wafanyakazi akina mama kutoka Jeshi la Polisi wakipita mbele ya Mgeni Rasmi Mama
Salma Kikwete wakifuatiwa na Jeshi la zimamoto. RAY7 RAY10 
Mamia ya wafanyakazi wanawake na baadhi ya wanaume waliofurika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja wakifuatilia mambo mbalimbali yaliyokuwa yakiendelea kwenye siku ya maadhimisho ya wanawake duniani.

No comments:

Powered by Blogger.