Mrisho Ngassa.
TIMU ya
Yanga yenye makazi yake Jangwani jijini Dar es Salaam leo imeibuka na
ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mtibwa Sugar kwenye mechi ya Ligi Kuu
Tanzania Bara.
Mechi hiyo
imechezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam huku mabao yote
mawili ya Yanga yakiwekwa kimiani na Mrisho Ngassa.
YANGA YAICHAPA MTIBWA 2-0 TAIFA
Reviewed by
crispaseve
on
8:47 PM
Rating:
5
No comments:
Post a Comment