Header Ads

Waziri wa Ujenzi aanza ziara ya Ukaguzi wa barabara mikoani ya Rukwa na Katavi

 
 Sehemu ya barabara ya Tunduma-Sumbawanga km 225 iliyokamilika kujengwa kwa kiwango cha lami.
 Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akikagua daftari lenye orodha ya magari yaliyopimwa katika mzani waNkangamo katika barabara ya Tunduma-Sumbawanga(km 225) iliyokamilika kujengwa kwa kiwango cha lami.
 Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akiwahutubia wananchi hao wa Tunduma.
 Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akiwahutubia wananchi hao wa Sumbawanga mjini kuhusu ujenzi wa barabara za mkoa huo.
Wananchi wa Sumbawanga mjini wakifurahia hotuba ya Waziri wa Ujenzi kuhusu ujenzi wa barabara za
 lami mkoani Rukwa.
 Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akiagana na wananchi wa Tunduma mara baada ya kuwahutubia na
kuwaahidi ujenzi wa barabara ya Tunduma mjini kwa njia nne ili kupunguza kero ya msongamano wa malori katika eneo hilo.
 Mamia ya wakazi wa Tunduma wakimsikiliza Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli mara baada ya kumsimamisha alipokuwa njiani kuelekea mkoani Rukwa kwa ajili ya Ukaguzi wa barabara za mkoa huo

No comments:

Powered by Blogger.