UTATA MTOTO WA FLORA... FAMILIA YAMWEKA KIKAANGONI...MWENYEWE AJIKAANGA
SIKU chache baada ya
kuibuka utata mkubwa juu ya kichanga cha kike cha mwimba Injili maarufu
Bongo, Flora Mbasha huku mitandao ya kijamii ikieleza kwamba baba wa
mtoto huyo si aliyekuwa mume wa mwanamuziki huyo, Emmanuel Mbasha ‘Ima’,
familia ya mwanaume huyo inadaiwa kufanya kikao kizito jijini Dar ili
kupata ufumbuzi, Ijumaa Wikienda linakujuza.
No comments:
Post a Comment