Header Ads

PICHA MBALIMBALI KUTOKA BUNGENI DODOMA



Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira James Lembeli akiwasilisha taarifa ya  Utekelezaji wa Kazi za Kamati yake kwa Kipindi cha Mwaka 2014, Bungeni mjini Dodoma.
 Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba akijibu maswali wakati wa kipindicha Maswali na Majibu Bungeni jana

 Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji Said Nkumba akiwasilisha taarifa ya kamati yake.
 Mbunge wa Mwibara (CCM), Kangi Lugola akichangia taarifa za kamati zilizowasilishwa jana Bungeni mjini

Dodoma.
 Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Anne Kilango Malecela akijibu maswali ya wabunge.

No comments:

Powered by Blogger.