MBUNGE WA MOROGORO MJINI MH ABOOD ATOA MILION 11 KUTATUA KERO YA MAJI MKUNDI MOROGORO

Mbunge
wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Akizindua Tawi la CCM la
Wajasiriamali Bodaboda na Mama lishe lililopo Mgulu wa Ndege Kata Ya
Mkundi Manispaa ya Morogoro.Mara Baada ya Kuzindua Tawi Hilo Mh Abood
Aliongea na Wanachama wa Tawi Hilo Kisha Kuwaelekeza Kujiunga Kwenye
Vikundi vya Wajasiriamali Yeye Atakuwa Tayari kuwawezesha Mitaji ya
Kufanya Shuguli za Kujiletea Maendeleo.

Mbunge wa
Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Akiwa Meza Kuu Sambamba na Katibu
wa CCM Kata Ya Mkundi tayari Kusikiliza Kero zinazowakabili wakati wa
Kata hiyo,ambapo walimwambia Wanakabiliwa na Kero Kubwa ya Umeme,Maji na
Barabara.
Aidha Mh Abood ametoa majibu Kuhusu Kero hizo na kusema kuwa Serikali imeiweka Kata hiyo Kwenye Bajeti ya Serikali ya Mwaka huu .Kuhusu
Maji Mh Abood alitoa Shilingi Milioni 11 Kwa jili ya Kununua Vifaa vya
Kuwezesha Kufikisha Maji katika eneo la Mgulu wa Ndege Kata ya
Mkundi.Pia Alitoa Shilingi Milion 2 kwa ajili ya kuhakikisha barabara
zote za Kata hiyo zinachongwa.
Mwenyekiti
wa Mtaa wa Mgulu wa Ndege Kata ya Mkundi Jimbo la Morogoro Mjini
Akisoma Risala yake Kwa Mbunge wa Jimbo Hilo Mh Aziz Abood.
No comments:
Post a Comment