WAZIRI MAKALAAWATAKA WANANCHI KUWAFICHUA WEZI WA MAJI
Naibu
Waziri wa Maji,Mh Amos Makala kulia akiwa anasikiliza maelezo kutoka
kwa Eng wa maji Bw.Mohamed Ismail katika eneo la chanzo cha maji mto
nduruma katikati niKaimu mkurugenzi wa mamlaka ya maji Arusha Eng.Fabian Maganga
Muonekano wa maporomoko ya maji mto nduruma ni chanzo kikubwa kinachotegemewa Mkoani Arusha katika huduma ya maji
Askari anayelinda eneo hilo
No comments:
Post a Comment