UTURUKI NA TANZANIA YASAINI MAKUBALIANO YA AWALI (MoU) KATIKA UIMARISHAJI WA SEKTA YA MADINI
Mtendaji
Mkuu wa Wakala wa Jiolojia Tanzania
(GST) Profesa Abdulkarim Mruma (kushoto waliokaa) na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa
Kurugenzi ya Utafiti wa Madini ya
Uturuki Dkt. Abdulkerim Yorukoglu ( kulia waliokaa) wakisaini
makubaliano ya awali (MoU) kwa ajili ya
ushirikiano wa taasisi hizo katika masuala ya
utafutaji wa madini na ubadilishanaji
wa ujuzi, uzoefu na teknolojia.
Waliosimama kushoto ni Kamishna Msaidizi
wa Madini, Ukaguzi wa Migodi
Mhandisi Ali Samaje na kulia ni
Balozi wa Uturuki Nchini, Ally Davutoglu.
Waziri
wa
Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (kushoto) akisisitiza jambo
kwenye ufunguzi wa kikao kwa ajili ya kusaini makubaliano ya awali
(MoU) kati ya Kurugenzi ya Utafiti wa Madini ya Uturuki na Wakala wa
Jiolojia Tanzania
(GST)
Mtendaji
Mkuu wa Wakala wa Jiolojia Tanzania
(GST) Profesa Abdulkarim Mruma akielezea
majukumu ya wakala huo katika kikao hicho.
Kamishna
Msaidizi wa Madini, Ukaguzi wa
Migodi Mhandisi Ali Samaje akielezea
aina za madini yanayopatikana nchini Tanzania katika kikao
hicho.
No comments:
Post a Comment