Header Ads

Soma Alichokiandika Prod mkali tanzania Charles Francis charles a.k.a C9 Kanjenje

 
Producer C9
Akiwa Ndani Studio 

Pichani ni nyumba aliyekulia mkali huyu

Kijiji cha Matimila, mji wa Songea mkoa wa Ruvuma ndiko alikozaliwa Prod mkali tanzania Charles Francis charles a.k.a C9 Kanjenje. Pichani ni nyumba aliyekulia mkali huyu kabla ya kuelekea zanzibar kujiunga na O level, kisha A level. Lipaya ndiko aliko soma darasa la kwanza mpka la saba nakujiunga ktk secondary ya privete Lighano Seminary. Mbali na kupata umaarufu na kufanikiwa kumiliki studio kubwa bongo, mkali huyu bado anakuthamini nyumbani na kutoa sapoti kwa vipaji vya nyumbani.... Kujua mengi kuhusu mkali huyu na mengine mengi, tembelea page yetu ya C9 record's.k

No comments:

Powered by Blogger.