SHULE YA MSINGI MISUFINI YAFIKISHA MIAKA 4O,YAKABILIWA NA CHANGAMOTO KUBWA,MBUNGE AZIZ ABOOD AICHANGIA MILIONI 4
Mbunge
wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood akiongea kwenye Sherehe za
Mazimisho ya Miaka 4o Tangu kuanzishwa Kwa Shule ya Msingi Misufini
Iliyopo Manispaa ya Morogoro.Katika Maadhimisho Hayo Mbunge wa Jimbo
Hilo alifanya Aliongoza Harambee Nas Jumla ya Shilingi Millioni 5.8
Zilichangwa Ambapo Yeye Alichangia Jumla ya Shilingi Milioni 4.5
Uchakavu
wa Madarasa ya Shule ya Msingi Misufini iliyotimiza Miaka 4O Tangu
Kuanzishwa kwake Ikiwa Katika Hali mbaya sana ya Uchakavu ya Miuondo
Mbinu ya Shule Hiyo.
No comments:
Post a Comment