SPORTS XTRA DAY -ARUSHA
Zenith Media Yatwaa Kombe la Sports Extra Day Bonanza kwa Jiji la Arusha.
Timu ya Banana investiments ikisali kabla ya kuanza kwa mchezo.
Huyu nae alikuwa aki #BRAZUCA katika mchezo wa Sports Xtra Day Jijini Arusha.
Mbwiga mbwiguke the Captain wa Sports Xtra akiwapanga vijana wake.
Huyu
kijana nae alipata wasaa wa kuongea na Shaffih Dauda kuwa ana kipaji
cha utangazaji wa mpira ,sasa atafikaje hapo yeye (shaffih) alipo?
![]() |
| Super Striker Shaffih Dauda wa Sports Xtra akichomoka na mpira katika bonanza la Sports Xtra Day ndani ya Sheikh Amri Abeid ,Jijini Arusha. |





No comments:
Post a Comment