Picha na Taarifa Kutoka Wizara ya katiba na Sheria: Serikali kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Maendeleo (UNDP) inatarajia kutoa mafunzo kwa Waandishi wa Sheria kwa lengo la kuwaongezea uwezo wa kuandaa miswada katika lugha ya kiswahili – lugha ambayo inatumiwa na watanzania wengi.
Naibu
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Angellah Jasmine Kairuki (kushoto)
akimsikiliza Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa
linaloshughulikia Maendeleo (UNDP) Bw. Philippe Poinsot alipomtembelea
Naibu Waziri ofisini kwake, Mtaa wa Mkwepu, jijini Dar es Salaam
leo (Jumatatu, Mei 19, 2014). Kulia ni Naibu wake anayeshughulikia
Programu Bi. Mandisa Mashologu
--
Na Mwandishi Wetu
Serikali
kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia
Maendeleo (UNDP) inatarajia kutoa mafunzo kwa Waandishi wa Sheria kwa
lengo la kuwaongezea uwezo wa kuandaa miswada katika lugha ya kiswahili –
lugha ambayo inatumiwa na watanzania wengi.
No comments:
Post a Comment