INASIKITISHA : BINTI APIGWA MAWE NA BABA YAKE MPAKA KUFA NCHINI PAKISTAN, KISA?
Polisi
nchini Pakistan wamemkamata na kumfungulia mashtaka mwanaume mmoja
anayetuhumiwa kumpiga hadi kumuua binti yake nje ya mahakama kuu ya nchi
hiyo .
Mtu huyo akiwa na kundi la watu 20, inasemekana walimpiga kwa
mawe na vitu vingine vyenye ncha kali ‘Farzana Iqba’ l baada ya kuolewa
na hatimaye kupatiwa ujauzito na mwanamme ambaye hakutakiwa na baba
yake ingawa mwanaume huyo inasemekana alifanikiwa kutoroka.
Wanawake wamekuwa wakipigwa hadi kufa hadharani nchini
Pakistan kwa kile kinachodaiwa kulinda heshima ya dini hasa wanapoolewa
na watu wasiokubali katika jamii yao.

No comments:
Post a Comment