Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Mafunzo ya Jinsia (GTI), Asseny Muro
(kushoto) akiwahutubia wahitimu wa mahafali ya pili ya chuo hicho leo
katika viwanja vya TGNP Mabibo jijini Dar es Salaam
Mkuu wa Chuo cha GTI, Zuki Mihyo (wa pili kushoto) akitoa hotuba yake
kwa wanamahafali wa mafunzo ya jinsia katika chuo cha GTI leo
Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Mafunzo ya Jinsia (GTI), Asseny Muro
pamoja na Mkuu wa Chuo cha GTI, Zuki Mihyo (kushoto) na Kaimu Mkurugenzi
wa TGNP Mtandao, Lilian Liundi (kulia) wakiongoza maandamano ya
wanamahafali ya pili ya Chuo cha GTI kuelekea ukumbuni kabla ya kuanza
kwa hafla
Mahafali ya Pili Chuo cha Mafunzo ya Jinsia Tanzania Yafanyika
Reviewed by
crispaseve
on
8:04 AM
Rating:
5
No comments:
Post a Comment