Header Ads

BADO TIKETI MOJA YA KWENDA BRAZILI KUPITIA KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI

 Meneja wa Bia ya Serengeti Rodney Rugambo(kulia) akizungumza na wana habari wakati wa droo ya Kumi na moja ya promosheni ya Winda Safari ya Brazili na Serengeti inayoendeshwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti mara baada ya kuchezesha droo hiyo mapema leo katika ofisi za kampuni hiyo jijini Dar es Salaam na anayemshuhudia ni Afisa Mkaguzi kutoka Bodi ya Michezo ya Kubahatisha  Tanzania Bakari Maggid(kushoto). 
  Meneja wa Bia ya Serengeti Rodney Rugambo akizungumza kwa njia ya simu na mmoja wa washindi wa droo ya kumi na moja ya Winda Safari ya Brazili na Serengeti katika droo iliyofanyika mapema leo jijini Dar es Salaam
Meneja wa Bia ya Serengeti Rodney Rugambo(kulia) akihakiki jina na namba la mshindi huku akishuhudiwa na Afisa Mkaguzi kutoka Bodi ya Michezo ya Kubahatisha  Tanzania Bakari Maggid(kushoto) wakati wa droo ya kumi na moja ya Winda Safari ya Brazili na Serengeti iliyochezeshwa leo jijini Dar es Salaam.

No comments:

Powered by Blogger.