Header Ads

PIGO : GURUMO AFARIKI DUNIA HOSPITALI YA MUHIMBILI.

Gurumo
Marehemu Maalim Muhidin Gurumo enzi za uhai wake.
Wapenzi wa muziki wa dansi wamepatwa na Pigo kubwa kufuatia kifo cha mwanamuziki mkongwe   ‘Maalim Muhidin  Gurumo’ kilichotokea mchana wa leo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili aliyokuwa amelazwa kwa matibabu.
Kwa mujibu wa taarifa zinasema kwamba Mzee Gurumo alikuwa akisumbuliwa na maradhi kwa muda mrefu.
Awali Gurumo aliwahi kuwa kiongozi wa bendi kongwe nchini ya Msondo Ngoma ambayo alipata kuiongoza kwa kipindi kirefu kabla ya kuamua kustaafu muziki. Msiba upo nyumbani kwa marehemu eneo la Tabata Makuburi.
Blogu ya Larrybway91 inawapa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki wa marehemu. Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi.
AMEEEEN!!!




HALI ILIVYO MCHANA HUU JIJINI DSM


IMG-20140411-00093 25f34
Mvua nyepesinyepesi ikiendelea kunyesha asubuhi ya leo.
IMG-20140411-00094 7f526
IMG-20140412-00103 01fd6
IMG-20140412-00106 b13d9
IMG-20140412-00107 71f06
Eneo la jangwani likiwa lime jaa maji, wafanyakazi wa kampuni ya STRABAG wakiwa katia jitihada za kuokoa vifaa vyao.
IMG-20140412-00109 2fd61
IMG-20140412-00110 d5218
Moja ya nyumba iliyopo kandokando ya mto msimbazi karibu kabisa na Daraja la Jangwani ikiwa imezungukwa na maji(Picha na Hudugu Ng'amilo  wa mjengwablog.com)

No comments:

Powered by Blogger.