Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda anayekabiliwa na kesi ya uchochezi katika maeneo mbalimbali mjini Morogoro na kukaidi amri ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, akirudishwa rumande baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kutupilia mbali maombi yake ya marejeo dhidi ya uamuzi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro

Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda
anayekabiliwa na kesi ya uchochezi katika maeneo mbalimbali mjini
Morogoro na kukaidi amri ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es
Salaam, akirudishwa rumande baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam
kutupilia mbali maombi yake ya marejeo dhidi ya uamuzi wa Mahakama ya
Hakimu Mkazi Morogoro. Picha na Michael Matemanga
---
Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa
Ponda amekwaa kisiki mahakamani baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es
Salaam kutupilia mbali maombi yake ya marejeo dhidi ya uamuzi wa
Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro.
No comments:
Post a Comment