Header Ads

Taswira Maalum Kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu: Mbunge wa Kuteuliwa, Dr. Asha Rose Migiro Ala Kiapo Rasmi Bungeni Mjini Dodoma

 Mbunge wa Kuteuliwa, Dr. Asha Rose Migiro akiapa, Bungeni Mjini Dodoma  Desemba 12, 2013
 Mbune wa Kuteuliwa , Dr. Asha Rose Migiro akiongozwa na Mpambe wa wa Bunge  na kusindindikizwa na badhi ya wabunge wa CCM kuingia Bungeni ili kuapishwa na Spika wa Bunge, Anne Makinda, Mjini Dodoma Desemba 12, 2013.
Mbune wa Kuteuliwa , Dr. Asha Rose Migiro akiongozwa na Mpambe wa wa Bunge  na kusindindikizwa na badhi ya wabunge wa CCM kuingia Bungeni ili kuapishwa na Spika wa Bunge, Anne Makinda, Mjini Dodoma Desemba 12, 2013.Picha Kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu

No comments:

Powered by Blogger.