MAMIA WAJITOKEZA KUMZIKA ALIYEKUWA KATIBU WA CCM MKOA WA IRINGA LEO
Vijana wa UVCCM mkoa wa Iringa na Mbeya wakiwa wamelibeba jeneza lenye mwili wa aliyekuwa katibu wa CCM mkoa wa Iringa Emanuel Mteming'ombe leo wakati wa kuelekea kanisani kwa ibada kabla ya mazishi yake yaliyofanyika kijijini Kwake Rujewa Mbarali mkoani Mbeya
No comments:
Post a Comment