Header Ads

PICHA ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA UHURU WA KENYA


Nchi ya Kenya imeadhimisha miaka 50 tokea ipate uhuru wake kutoka kwa wakoloni mnamo Desemba, 12 mwaka 1964, hivyo basi kila ifikapo Desemba 12 nchi ya Kenya husherehekea, kwa mwaka huu maadhimisho hayo yalifanyika kwenye uwanja wa Kasarani uliopo katika jiji la Nairobi na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Afrika wakiongozwa na mwenyeji wao Rais Uhuru Kenyatta.., Tazama picha zote hapa
Ethiopia's prime minister Hailemariam Desalegn (L), Burundi's president Pierre Nkurunzinza (2nd L), his wife Denise and Tanzania's President Jakaya Kikwete (R) stand on December 12, 2013 in Kasarani stadium during Kenya's celebrations marking 50 years of independence from British colonial rule.  AFP PHOTO / TONY
Rais wa Tanzania, Jakaya Kikwete alikuwepo kwenye maadhimisho hayo.
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akikagua gwaride.
Rais wa Jamhuri ya Sahreew, Mohamed Abdelaziz
Rais wa Malawi, Joyce Hilda Banda.

No comments:

Powered by Blogger.