Header Ads

MAKAMU WA RAIS DK. BILAL AONGOZA DHIFA YA SHEREHE ZA UHURU IKULU JIJINI DAR ES SALAAM

Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal akisalimiana na Waziri Mkuu Mizengo Pinda

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akisalimia na mmoja wa mabalozi waliofika kwenye dhifa hiyo.

Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal akisalimiana na Balozi wa Zambia mama Judith Kangoma.

Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal akisalimiana na Mbunge wa Busega Dk. Titus Kamani.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel.Kulia ni  Mkurugenzi wa Idara ya Habari Assah Mwambene (mwenye suti).

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akizungumza na Balozi wa Canada nchini Alexandre Leveque

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadick.

Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal akisalimiana na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Prof. Anna Tibaijuka.Kushoto aliyekaa ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein.

Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam Alhad Musa Salim akibadilishana mawazo na  Mbunge wa Busega Dk. Titus Kamani.

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akisalimiana na mmoja wa wageni waalikwa kwenye dhifa.

Kikundi cha ngoma kikitumbuiza

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akimuelekeza jambo Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal wakati wakiangalia kikundi cha ngoma kilichokuwa kikituiza wageni.

Kikundi cha ngoma ya Amayaga kutoka Kagera kikitumbuiza.

Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal wa pili Kulia akiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein wakiangalia ngima za jadi.Kushoto  ni mke wa Dk Bila mama Asha Bilal na kushoto mwisho ni mke wa Dk. Shein mama Mwema Shein.

Mkurugenzi Msaidizi wa Kitengo cha Uratibu wa Vyombo vya Habari cha Idara ya Habari (MAELEZO), Jamali Zuber akiwa na wenzake wakiangalia ngoma za asili.

Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal(kulia) akiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein wakiwa wamepumzika kwenye dhifa hiyo.
 
(Picha zote na Hussein Makame)

No comments:

Powered by Blogger.