Kamanda mpya wa Brigedi ya Nyuki
Zanzibar Brigedia Genaral Sharif Sheikh Othman akisalimiana na Makamu wa
Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi aliyefika kujitambulisha
rasmi tokea ateuliwe kushika wadhifa huo.
Makamu wa Pili mwa Rais wa Zanzibar
Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Kamanda Mpya wa Brigedi ya Nyuki
Zanzibar Brigedia General Sharif Sheikh Othman ambae amefika
kujitambulisha rasmi Ofisini kwake Vuga Mjini Zanzibar.
No comments:
Post a Comment