Header Ads

MKUTANO WA WAKUU WA MIKOA MJINI DODOMA

 
 
Mkuu wa mkoa wa Katavi, Dr.Rajabu Rutengwe akichangia katika mkutano maalum wa Wakuu wa Mikoa , Makatibu Tawala wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya kwenye ukumbi wa Msekwa mjini Dodoma, Novemba 16, 2012.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Powered by Blogger.