Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Omar Yussuf Azinduzi wa Tawi la Bank Of Africa Mlandege Zanzibar.
uzinduzi huo umefanyika katika eneo la Bank hiyo Mlandege Zanzibar. Na
kuwataka Wafanyakazi na Uongozi wa BOA kutowa huduma bora na kuwafikia
Wananchi wa Vijijini katika kutowa huduma zao.
Waziri
wa Fedha Zanzibar Mhe Omar Yussuf mwenye mkasi akijiandaa kukata utepe
kuashiria kulizindua Tawi la Bank Of Africa Zanzibar lilioko katika
barabara ya Mlandege.kushoto Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Balozi
Mwanaidi Maajar.
Waziri
wa Fedha Zanzibar Mhe Omar Yussuf Mzee na Wajumbe wa Bodi ya
Wakurugenzi wa Bank Of Africa wakishiriki katika kukata utepe kulizindua
rasmin Tawi la Bank Of Africa Zanzibar, uzinduzi huo umefanyika
Zanzibar.
Wageni Waalikwa na Wajumbe wa Bodi na Maofisa wa Bank Of Africa wakishangilia Uzinduzi huo wa Tawi lao la Banki Zanzibar.
Wageni Waalikwa na Wananchi wakihudhuria hafla hiyo.
Maofisa wa Bank Of Africa wakifuatilia uzinduzi wa Bank yake Zanzibar uliofanywa na Waziri wa Fedha Mhe Omar Yussuf Mzee.

Wajumbe
wa Bank Of Africa wakiwa na Mkurugenzi Mkuu wa Bank Of Africa Nchini
Tanzania Bwa. Ammish Owusu-Amoah, katikati wakizungumza wakimsubiri
Mgeni rasmin Waziri wa Fedha Zanzibar.
Mwenyekiti
wa Bodi ya Bank Of Africa Tanzania Balozi Mwanaidi Maajar akisalimiana
na Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Omar Yussuf Mzee alipowasili katika
viwanja vya Bank hiyo hapo mlandege kwa ajili ya Uzinduzi wa Bank hiyo.
Waziri
wa Fedha Zanzibar akizungumza na Wajumbe wa Bodi ya Bank Of Africa
alipowasili katika eneo hilo. akiwa na Mwenyekiti wa Bodi ya BOA, Balozi
Mwanaidi Maajar.
No comments:
Post a Comment