MFUKO WA HIARI WA PSPF WANUFAISHA MAMIA YA WAKAZI WA UKONGA
Afisa
Uendeshaji kutoka Mfuko wa Pensheni wa PSPF Bw. Delphin Richard
akizungumza na wananchi wa Ukonga pamoja na maeneo mengine ya mji wa Dar
es Salaam kuhusu Mfuko wa Hiari wa PSPF wakati wa Semina ya
Ujasiriamali Ukonga jana jijini Dar es Salaam.
Afisa
Uendeshaji kutoka Mfuko wa Pensheni wa PSPF Bw. Delphin Richard
akifafanua jambo kwa wajasiriamali kuhusu Mfuko wa Hiari wa PSPF jana
jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi wa Mjasiriamali kwanza
Enterprises Dr. Didas Lunyungu.
Wajasiriamali
kutoka maeneo ya Ukonga na maeneo mengine ya mji wa Dar es Salaam
wakisikiliza kwa makini elimu iliyokuwa ikitolewa kuhusu uchangiaji wa
hiari katika Mfuko wa Hiari wa PSPF wakati wa semina ya wajasiriamali
jana jijini Dar es Salaam
Afisa
Masoko kutoka Mfuko wa Pensheni wa PSPF Bibi. Sarah Adebe akitoa elimu
kwa wachangiaji wa hiari katika Mfuko wa Hiari wa PSPF wakati wa
kuandikisha wachangiaji wapya wa mfuko huo jana jijini Dar es Salaam.
Afisa
Masoko kutoka Mfuko wa Pensheni wa PSPF Bibi. Sarah Adebe akitoa elimu
kwa wachangiaji wa hiari katika Mfuko wa Hiari wa PSPF wakati wa
kuandikisha wachangiaji wapya wa mfuko huo jana jijini Dar es Salaam.
Afisa
kutoka Mfuko wa Pensheni wa PSPF Bw. Mrisho Ngongo (kulia) akitoa fomu
za kujisajiri kwa wachangiaji wapya wa hiari katika Mfuko wa Hiari wa
PSPF jana jijini Dar es Salaam
Baadhi
ya wanachama wa hiari katika Mfuko wa Hiari wa PSPF wakiwa katika
mstari kwa ajili ya kukamilisha hatua za mwisho za kujisajiri katika
mfuko huo jana jijini Dar es Salaam.
Afisa
Masoko kutoka Mfuko wa Pensheni wa PSPF Bibi. Sarah Adebe (kushoto)
akikagua fomu za uanachama wa hiari katika Mfuko wa Hiari wa PSPF baada
ya kusajili wanachama wapya jana jijini Dar es Salaam.Picha na: Genofeva
Matemu – Maelezo.








No comments:
Post a Comment