Header Ads

MFUKO WA HIARI WA PSPF WANUFAISHA MAMIA YA WAKAZI WA UKONGA

Afisa Uendeshaji kutoka Mfuko wa Pensheni wa PSPF Bw. Delphin Richard akizungumza na wananchi wa Ukonga pamoja na maeneo mengine ya mji wa Dar es Salaam kuhusu Mfuko wa Hiari wa PSPF wakati wa Semina ya Ujasiriamali Ukonga jana jijini Dar es Salaam.
Afisa Uendeshaji kutoka Mfuko wa Pensheni wa PSPF Bw. Delphin Richard akifafanua jambo kwa wajasiriamali kuhusu Mfuko wa Hiari wa PSPF jana jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi wa Mjasiriamali kwanza Enterprises Dr. Didas Lunyungu.
Wajasiriamali kutoka maeneo ya Ukonga na maeneo mengine ya mji wa Dar es Salaam wakisikiliza kwa makini elimu iliyokuwa ikitolewa kuhusu uchangiaji wa hiari katika Mfuko wa Hiari wa PSPF wakati wa semina ya wajasiriamali jana jijini Dar es Salaam
Afisa Masoko kutoka Mfuko wa Pensheni wa PSPF Bibi. Sarah Adebe akitoa elimu kwa wachangiaji wa hiari katika Mfuko wa Hiari wa PSPF wakati wa kuandikisha wachangiaji wapya wa mfuko huo jana jijini Dar es Salaam.
Afisa Masoko kutoka Mfuko wa Pensheni wa PSPF Bibi. Sarah Adebe akitoa elimu kwa wachangiaji wa hiari katika Mfuko wa Hiari wa PSPF wakati wa kuandikisha wachangiaji wapya wa mfuko huo jana jijini Dar es Salaam.
Afisa kutoka Mfuko wa Pensheni wa PSPF Bw. Mrisho Ngongo (kulia) akitoa fomu za kujisajiri kwa wachangiaji wapya wa hiari katika Mfuko wa Hiari wa PSPF jana jijini Dar es Salaam
Baadhi ya wanachama wa hiari katika Mfuko wa Hiari wa PSPF wakiwa katika mstari kwa ajili ya kukamilisha hatua za mwisho za kujisajiri katika mfuko huo jana jijini Dar es Salaam.
Afisa Masoko kutoka Mfuko wa Pensheni wa PSPF Bibi. Sarah Adebe (kushoto) akikagua fomu za uanachama wa hiari katika Mfuko wa Hiari wa PSPF baada ya kusajili wanachama wapya jana jijini Dar es Salaam.Picha na: Genofeva Matemu – Maelezo.

No comments:

Powered by Blogger.