Header Ads

BENKI YA POSTA YACHANGIA MILIONI 15 KUFANIKISHA MAONESHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Makamu wa Pili wac Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akipokea mfano wa hundi ya shilingi miliono kumi na tano ikiwa mchango wa Benki ya Posta Tanzania kwa ajili ya kufanikisha Maonesho hayo ya kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani kutoka Mkurugenzi Mkuu wa TPB. Ndg. Sabasaba Moshingi.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwahutubia Wanawake Wajasiriamali katika viwanja vya Mnara wa Kumbukumbu ya Mapinduzi ya Zanzibar Michezani Kisonge, na kuyazindua rasmin maonesho hayo ikiwa ni kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani huadhimishwa kila mwaka 8, march. 
Mwenyekiti wa Zanzibar Informal Sector Foundation Bi Nuru Mohammed Ahmeid akizungumza machache kuhusiana na maonesho hayo yalioandaliwa na Jumuiya hiyo kwa Wajasiriamali Wanawake wa Zanzibar kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani yaliofanyika katika viwanja vya Mnara wa Kumbukumbu ya Mapinduzi Michezo Kisonge Zanzibar.na kuwashirikisha Wajasiriamali kutoka sehemu mbalimbali Zanzibar.
Mwenyekiti wa Tanzania Informal Sector Foundation Ndg Masoud Maftah akitowa maelezo kuhusiana na maonesho hayo ya Wajasiriamali wa Zanzibar Wanawake katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani. maonesho hayo yamefunguliwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi katika viwanja vya Mnara wa Kumbukumbu ya Mapinduzi ya Zanzibar Michezani Kisonge leo.  

Wanawake Wajasiriamali wakiwa katika viwanja vya Mnara wa Kumbukumbu ya Mapinduzi ya Zanzibar Michezani Kisonge wakimsikiliza Balozi Seif Ali Iddi akiwahutubia wakati wa ufunguzi wa Maonesho hayo kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani.
.
Wanawake Wajasiriamali wakiwa katika viwanja vya Mnara wa Kumbukumbu ya Mapinduzi ya Zanzibar Michezani Kisonge wakimsikiliza Balozi Seif Ali Iddi akiwahutubia wakati wa ufunguzi wa Maonesho hayo kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani.
Wanawake Wajasiriamali wakiwa katika viwanja vya Mnara wa Kumbukumbu ya Mapinduzi ya Zanzibar Michezani Kisonge wakimsikiliza Balozi Seif Ali Iddi akiwahutubia wakati wa ufunguzi wa Maonesho hayo kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani

No comments:

Powered by Blogger.