WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AKABIDHIWA RASMI OFISI
Waziri
Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akimkaribisha Waziri Mkuu, Mstaafu,
Mizengo Pinda ambaye Novemba 30,2015 alikwenda ofisini kwa Waziri Mkuu
jijini Dar es salaam kukabidhi Ofisi.
Waziri
Mkuu, Majliwa Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri Mkuu Mstaafu,
Mizengo Pinda ambaye alikwenda Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es
salaam Novemba 30, 2015 kukabidhi Ofisi.
Waziri
Mkuu, Majliwa Kassim Majaliwa na Waziri Mkuu, Mstaafu, Mizengo Pinda
wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Dkt Florence Turuka
aliposoma taarifa kabla ya Waziri Mkuu Mstaafu kukabidhi Ofisi, kwenye
ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Novemba 30, 2015.
Waziri Mkuu, Mstaafu Mizengo Pinda akizungumza kabla ya kukabidhi
Ofisi kwa Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa, kwenye ukumbi wa
Ofisi ya Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Novemba 30, 2015.
No comments:
Post a Comment