WACHINA WAONYESHA UTAMADUNI WAO TANZANIA
Kikundi
cha wanamuziki kutoka China kikitumbuhiza wakati wa Tamasha la
Forbidden City Chamber Orchestra lililofanyika katika ukumbi wa
maonyesho wa Makumbusho ya Taifa jana jijini Dar es Salaam.Tamasha hilo
lilikuwa maalumu kufuatia kuzinduliwa rasmi kwa Kituo cha Utamaduni wa
China hapa nchini.
Msanii
wa kundi la Zijincheng kutoka Chuo Kikuu cha Sanaa cha China Di Yang
akionyesha umahiri wa kutumia vifaa vya muziki wakati wa Tamasha la
Forbidden City Chamber Orchestra lililofanyika katika ukumbi wa
maonyesho wa Makumbusho ya Taifa jana jijini Dar es Salaam.Tamasha hilo
lilikuwa maalumu kufuatia kuzinduliwa rasmi kwa Kituo cha Utamaduni wa
watu wa China hapa nchini.
Msanii
wa kundi la Zijincheng kutoka Chuo Kikuu cha Sanaa cha China Yang Jing
akionyesha umahiri wa kutumia vifaa vya muziki wakati wa Tamasha la
Forbidden City Chamber Orchestra lililofanyika katika ukumbi wa
maonyesho wa Makumbusho ya Taifa jana jijini Dar es Salaam.Tamasha hilo
lilikuwa maalumu kufuatia kuzinduliwa rasmi kwa Kituo cha Utamaduni wa
watu wa China hapa nchini.
Mkuu
wa Kituo cha Utamaduni wa Watu wa China nchini Tanzania Bw. Gao Wei
(watano kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na wanamuziki wa
kundi la Zijincheng kutoka Chuo Kikuu cha Sanaa cha China. Kundi hilo
linaundwa na wanazuoni na watafiti wa muziki wa asili nchini China.Picha na Frank Shija, WHVUM
No comments:
Post a Comment