MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AMWAKILISHA RAIS MAGUFULI KWENYE MKUTANO WA TANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA NA CHINA, JIJINI JOHANNESBURG LEO.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akisalimiana na Rais wa China, Xi Jinping, wakati wa Mkutano Mkuu wa
Tano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China (China-Africa Forum)
uliofanyika leo Dec 4, 2015 jijini Johannesburg. Mhe. Samia
amemwakilisha Rais Dkt. John Pombe Magufuli katika mkutano huo.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan
(mwenye kitambaa cheupe) akiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Tano wa Wakuu wa
Nchi za Afrika na China (China-Africa Forum) uliofanyika leo Dec 4, 2015
jijini Johannesburg. Mhe. Samia amemwakilisha Rais Dkt. John Pombe
Magufuli katika mkutano huo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia
Suluhu Hassan (mwenye kitambaa cheupe katikati) akiwa katika picha ya
pamoja na baadhi ya Viongozi wakuu wa Nchi za Afrika baada ya ufunguzi
wa Mkutano huo Mkuu wa Tano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China
(China-Africa Forum) uliofanyika leo Dec 4, 2015 jijini Johannesburg.
Mhe. Samia amemwakilisha Rais Dkt. John Pombe Magufuli katika mkutano
huo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Samia
Suluhu Hassan (kulia) akiwa katika mazungumzo na Rais wa Msumbiji, Mhe.
Filipe Jacinto Nyusi, walipokutana kwenye ufunguzi wa Mkutano huo Mkuu
wa Tano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China (China-Africa Forum)
uliofanyika leo Dec 4, 2015 jijini Johannesburg. Mhe. Samia
amemwakilisha Rais Dkt. John Pombe Magufuli katika mkutano huo.




No comments:
Post a Comment