MAGEREZA KUHAMASISHA UTALII WA NDANI KATIKA MIAKA 54 YA UHURU WA TANGANYIKA
Kamishna
Jenerali wa Jeshi la Magereza John Minja akiwasilia katiki viwanja vya
Magereza Mkoa wa Kilimanjaro kwa ajili ya hafla ya kukabishi bendera kwa
watumishi 39 wa Jehi hilo wanaotarajia kuadhimisha miaka 54 ya Uhuru wa
Tanganyika kwa kupanda Mlima Kilimanjaro.
Kamishna
Jenerali wa Magereza John Minja akikabidhi bendera ya Magereza kwa
kiongozi wa Msafara Kamishna Msaidizi wa Magereza Alexander Mmasy leo
tarehe 04/12/2015 wakiwa wanajiandaa kupanda Mlima tarehe 06/12/2015 ili
ifikapo tarehe 09 siku ya Uhuru wa Tanganyika wawe kileleni
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza John Minja akitoa nasaha kwa wapanda mlima wa Jeshi la Magereza (Hawapo pichani)
Baadhi
ya wadau wa Magereza Utalii Klabu walio tayari kupanda Mlima
Kilimanjaro wakisikiliza kwa makini nasaha za Kamishna Jenerali wa
Magereza John Minja katika hafla ya kukabidhiwa bendera ya Jeshi hilo
kuipeleka katika Kilele cha Mlima huo.
No comments:
Post a Comment