Header Ads

MBUNGE WA VITI MAALUM CUF, CLARA MWATUKA AFARIKI KWA AJALI


mwatuka
Clara Mwatuka enzi za uhai wake.
Aliyekuwa Mbunge wa Viti maalumu kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Clara Mwatuka, amefariki dunia leo Jumapili jioni baada ya gari lake alilokuwa akisafiria kupinduka lilipokuwa linashuka eneo la Makonde Plateu kuelekea Ndanda, Masasi mkoani Mtwara.
mwatuka gari
Gari alilopata nalo ajali marehemu Mwatuka.
Gari ilikuwa inaendeshwa na dereva wake, ambaye inasemekana ni mwanaye. Maiti ya marehemu Mwatuka imehifadhiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Ndanda. Viongozi waandamizi wa CUF wamethibitisha kutokea msiba huo.
wenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.…
mwatuka
Clara Mwatuka enzi za uhai wake.
Aliyekuwa Mbunge wa Viti maalumu kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Clara Mwatuka, amefariki dunia leo Jumapili jioni baada ya gari lake alilokuwa akisafiria kupinduka lilipokuwa linashuka eneo la Makonde Plateu kuelekea Ndanda, Masasi mkoani Mtwara.
mwatuka gari
Gari alilopata nalo ajali marehemu Mwatuka.
Gari ilikuwa inaendeshwa na dereva wake, ambaye inasemekana ni mwanaye. Maiti ya marehemu Mwatuka imehifadhiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Ndanda. Viongozi waandamizi wa CUF wamethibitisha kutokea msiba huo.
wenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. AMEN.

No comments:

Powered by Blogger.