Header Ads

WASIMAMIZI, WAHARIRI NA WADADISI WA UTAFITI WA AFYA YA MAMA NA MTOTO NA MALARIA WA MWAKA 2015,WAPEWA MAFUNZO

Mkurugenzi wa Kinga kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,Neema Rusibamanyila akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya wasimamizi,wahariri na wadadisi wa utafiti wa afya ya mama na mtoto na Maralia yanayofanyika kwa siku 36 katika ukumbi wa YMCA mjini Moshi.
Baadhi ya wauguzi wanaoshiriki mafunzo hayo yanayofanyika katika ukumbi wa YMCA mjini Moshi.
Mwakilishi wa Mkurugenzi mkuu wa Ofisi ya Takwimu ,Ephraim Kwesigabo akizungumza katika ufunguzi wa mafunzo hayo.
Kutoka kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya ,Zanzibar Halima Maulidi Saleh akiwa na ,Mganga mkuu wa Mkoa wa   Kilimanjaro,Andrewleon Qweker (katikati) na Mtakwimu Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,Hafidh Rajab wakifuatilia ufunguzi wa mafunzo hayo.

No comments:

Powered by Blogger.