Mbunge
wa jimbo la Arusha mjini Godbless Lema akizungumza katika uchaguzi wa
kumpata Mbunge pamoja na Mbunge viti maalum kupitia chama cha Demokrasia
na maendeleo(CHADEMA)jijini Arusha ambapo aliibuka kidedea kwa kura 255
sawa na asilimia 93.06% (Habari Picha na Pamela Mollel wa jamiiblog)
Mbunge
viti maalum kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Joyce
John Mukya alipata kura 39 sawa na asilimia 73.6% katika kinyang'anyiro
hicho hivyo kumfanya kuwa Mbunge wa viti maalum,aliwataka wajumbe wa
mkutano huo kuvunja makundi ili kuhakikisha chama kinashinda katika
uchaguzi wa Urais,Ubunge na udiwani
Mgombea
kupitia chama cha Demokrasia na maendelao (CHADEMA)Noel Olevaroya
akizungumza mara baada ya kutangazwa kushika nafasi ya pili kwa kupata
kura 13 sawa na asilimia 4.74% katika kinyang"anyiro hicho ambapo
aliwashukuru wajumbe wa mkutano huo na kuhaidi kumpa Mbunge Lema
shilingi laki tano kwaajili ya kampeni ya kuhakikisha chama hicho
kinapata ushindi wa kishindo
Wagombea ubunge viti maalum Mkoa wa Arusha wakisubiria kuingia kujinadi kwa wajumbe wa mkutano.
LEMA KUPEPERUSHA BENDERA YA CHADEMA NA JOYCE MUKYA
Reviewed by
crispaseve
on
11:53 AM
Rating:
5
No comments:
Post a Comment