Header Ads

Airtel Fursa Yatumia zaidi ya milioni 3 kumpiga tafu mjasiliamali mwingine - Airtel Fursa wiki hii kuwafaidisha mamia ya vijana Mwanza


 Meneja Huduma kwa Jamii wa Airtel Tanzania, Hawa Bayumi (kulia), akiwa na kijana Mariam Mrisho (wa pili kulia) aliyewezeshwa na Airtel Fursa-Tunakuwezesha vifaa mbalimbali na jokufu kwa ajili ya kumsaidia katika biashara yake ya mama lishe na kutengeneza vitafunwa na juisi Dar es Salaam jana. Wa tatu kushoto ni mama wa Mariam Mrisho, Amina Lugome. Wengine ni ndugu zake Mrisho.
 Meneja Huduma kwa Jamii wa Airtel Tanzania, Hawa Bayumi (katikati), akimkabidhi jokofu kijana Mariam Mrisho (wa pili kulia) mkazi wa Kinondoni aliyewezeshwa na Airtel Fursa-Tunakuwezesha vifaa mbalimbali kwa ajili ya kumsaidia katika biashara yake ya mama lishe na kutengeneza vitafunwa na juisi Dar es Salaam jana. Anayeshuhudia kushoto ni Ofisa Uhusiano na Matukio wa Airtel, Dangio Kaniki. Wengine ni ndugu zake Mrisho.
 Meneja Huduma kwa Jamii wa Airtel Tanzania, Hawa Bayumi (kulia), akimkabidhi mtungi wa gesi kijana Mariam Mrisho (wa pili kulia) aliyewezeshwa na Airtel Fursa-Tunakuwezesha vifaa mbalimbali na jokufu kwa ajili ya kumsaidia katika biashara yake ya mama lishe na kutengeneza vitafunwa na juisi Dar es Salaam jana. Wa tatu kushoto ni mama wa Mariam Mrisho, Amina Lugome. Kushoto ni Ofisa Uhusiano na Matukio wa Airtel, Dangio Kaniki.
 Meneja Huduma kwa Jamii wa Airtel Tanzania, Hawa Bayumi (kulia), akimkabidhi seti ya glasi kijana Mariam Mrisho (wa pili kulia) aliyewezeshwa na Airtel Fursa-Tunakuwezesha vifaa mbalimbali na jokufu kwa ajili ya kumsaidia katika biashara yake ya mama lishe na kutengeneza vitafunwa na juisi Dar es Salaam jana. Wa tatu kushoto ni mama wa Mariam Mrisho, Amina Lugome. Kushoto ni Ofisa Uhusiano na Matukio wa Airtel, Dangio Kaniki.
 Meneja Huduma kwa Jamii wa Airtel Tanzania, Hawa Bayumi akipiga makofi pamoja na jamaa zake na Mariam Mrisho wakati  wa hafla ya kumkabidhi vifaa hivyo. Kwa habari kamili ya hafla hii BOFYA HAPA

No comments:

Powered by Blogger.