Header Ads

ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA LEO JIMBO LA NYAMAGANA,KESHO KUUNGURUMA LIVE JIMBO LA ILEMELA JIJINI MWANZA I


 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwasli katika Uwanja wa CCM Kirumba, kuzungumza na Mamalishe, Machinga na waendesha bodaboda, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama, katika jimbo la Nyamaagana mkoani Mwanza leo.
  Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na mamalishe, wamachinga na waendesha bodaboda alipokutana nao kuzungumzia maendeleo ya shughuli zao, katika Uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza leo.
 Baadhi ya wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Nyamagana, wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana alipozungumza nao leo katika Ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) jijini Mwanza
 Wananchi wakiwa wamesimama juu ya daraja la zamani, wakati Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana alipokagua ujenzi wa daraja la Isegenge katika Kata ya Mahina, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na Uhai wa Chama jimbo la Nyamagana, mkoani Mwanza leo
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizindua ujezi wa  daraja la Isegenge katika Kata ya Mahina, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na Uhai wa Chama jimbo la Nyamagana, mkoani Mwanza leo
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na Wananchi mara baada ya kukagua ujenzi wa  daraja la Isegenge katika Kata ya Mahina, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na Uhai wa Chama jimbo la Nyamagana, mkoani Mwanza leo
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia wananchi katika mkutano wake wa hadhara uliofanyika katika eneo la soko la Igoma, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na Uhai wa Chama katika jimbo la Nyamagana mkoani Mwanza leo.
  Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na msafara wake wakiondoka katika eneo la mradi wa maji mara baada ya kuukagua na kupata maelezo mafupi juu ya mradi huo wa maji wa Fumagila katika Kata ya Kishiri, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji ilani ya CCM na uhai wa Chama katika jimbo la Nyamagana mkoani Mwanza leo.
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizindua Ofisi ya CCM  Kata ya Buhongwa, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama katika jimbo la Nyamagana, mkoani Mwanza leo
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza katika mkutano wa hadhara aliofanya baada ya kuzindua Ofisi ya CCM  Kata ya Buhongwa, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama katika jimbo la Nyamagana, mkoani Mwanza leo 
 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akiwasili kuzindua Shina la wakereketwa wa CCM ambao ni wajasiriamali  na waendesha bodaboda  katika kata ya Nyegezi, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama katika jimbo la Nyamagana mkoani Mwanza leo.
 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akizungumza baada ya kuzindua Shina la wakereketwa wa CCM ambao ni wajasiriamali  na waendesha bodaboda  katika kata ya Nyegezi, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama katika jimbo la Nyamagana mkoani Mwanza leo . 
  Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akihutubia mkutano wa hadhara wa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, wakati wa uzinduzi  Ofisi ya CCM  Kata ya Buhongwa, Kinana akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama katika jimbo la Nyamagana, mkoani Mwanza leo
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia wananchi katika mkutano wake wa hadhara uliofanyika katika eneo la soko la Igoma, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na Uhai wa Chama katika jimbo la Nyamagana mkoani Mwanza leo.

No comments:

Powered by Blogger.