Header Ads

WANAHABARI WASHINDANA KUTAMBUA LADHA ZA BIA ZA TBL DAR


 Mpishi Mkuu / Brew Master Kiwanda cha Bia cha TBL, Dar es Salaam, Bw. Benjamin Budigila (kulia), akitoa maelezo kwa waandishi wa habari walipotembelea kiwanda cha kampuni hiyo baada ya semina ya siku moja kuhusu matumizi ya pombe kupita kiasi.
 Mpishi Mkuu / Brew Master Kiwanda cha Bia cha TBL, Dar es Salaam, Benjamin Budigila akiwaonyesha waandishi wa habari jinsi wanavyotumia mtandao wa Komputa kuhakiki viwango katika suala zima la uzalishaji wa vinywaji wa kampuni hiyo.
Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Editha Mush, akizungumza na waandishi wa habari kuhusu shindano maalumu la kutambua harufu na radha ya aina ya Bia zinazotengenezwa na TBL.

No comments:

Powered by Blogger.