Walemavu jijini Dar es Salaam muda huu
wameandamana kwenda ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar eneo la Ilala na
kufunga barabara za Kawawa na Uhuru wakilalamikia kuvunjwa kwa meza zao
za biashara zilizopo eneo la Karume.
WALEMAVU JIJINI DAR WAANDAMANA NA KUFUNGA BARABARA ZA KAWAWA NA UHURU
Reviewed by crispaseve
on
5:52 AM
Rating: 5
No comments:
Post a Comment