Mtendaji
Mkuu wa Taasisi ya Takwimu ya Bara la Afrika Bw. Joseph ILboudo
akizungumza na watalaam na wakuu wa Ofisi za Takwimu Kongamano la
Kimataifa kuhusu Uongozi na utawala lililowahusisha wataalam na Wakuu wa
Taasisi za Takwimu wa nchi za Afrika zinazozungumza lugha ya
Kiingereza na Kifaransa leo jijini Dar es salaam.
No comments:
Post a Comment