PROFESA HERMAS MWANSOKO AZINDUA TAWI LA CHAWAKAMA KATIKA CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE

Mkurugenzi
wa Maendeleo ya Utamaduni kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na
Michezo Profesa Hermas Mwansoko akizungumza wakati wa hafla uzinduzi wa
Tawi la Chama cha Wanafunzi wanaosoma KiswahiliAfrika Mashariki
(CHAWAKAMA) katika Chuo cha Kumukumbu ya Mwalimu Nyerere jijini Dar es
Salaam
jana.

Mwanafunzi
wa mwaka wa Kwanza katika fani yaKiingereza na Kishwahili Bi. Fatma
Amour Hamad akiimba shairi wakati wa hafla uzinduzi wa Tawi la Chama cha
Wanafunzi wanaosoma KiswahiliAfrika Mashariki (CHAWAKAMA) katika Chuo
cha Kumukumbu ya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam jana.

Mkurugenzi
wa Maendeleo ya Utamaduni kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na
Michezo Profesa Hermas Mwansoko akimlisha keki Makamu Mkuu wa Chuo cha
Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Dkt. Magreth Shawa wakati wa hafla
uzinduzi wa Tawi la Chama cha Wanafunzi wanaosoma Kiswahili Afrika
Mashariki (CHAWAKAMA) chuoni hapo jana.

Baadhi
ya wageni waalika wakifuatilia burudani mbalimbali wakati wa hafla
uzinduzi wa Tawi la Chama cha Wanafunzi wanaosoma Kiswahili Afrika
Mashariki(CHAWAKAMA) katika Chuo cha Kumukumbu ya Mwalimu Nyerere jijini
Dar es Salaam jana.

Mkurugenzi
wa Maendeleo ya Utamaduni kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na
Michezo Profesa Hermas Mwansoko akipanda mti kamakukmbukumbu ya ya
kuzinduliwa kwa tawi la CHAWAKAMA katika Chuo chaKumbukumbu ya Mwalimu
Nyerere jana jijini Dar es Salaam. Mti huo umepewa jina la CHAWAKAMA.

Mkurugenzi
wa Maendeleo ya Utamaduni kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na
Michezo Profesa Hermas Mwansoko (waliokaa katikati) akiwa katika picha
ya pamoja na viongozi wa Chama cha Wanafunzi wanaosoma Kiswahili Afika
Mashariki Tawi la Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere-CHAWAKAMA –
MNMA jana jijini Dar es Salaam. Picha na Frank Shija, WHVUM
No comments:
Post a Comment